Logo

    ncds

    Explore " ncds" with insightful episodes like "WHO/UNHCR: Asilimia 75 ya vifo vyote duniani vinatokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza", "27 FEBRUARI 2024", "NCDs are killing the Caribbean", "Rodney Dietert on Microbiome-First Medicine" and "Food for Thought with Julian Rowe" from podcasts like ""Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu", "Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu", "Strive: Toward a more just, sustainable future", "Groundless Ground Podcast" and "Shak Shak Podcast"" and more!

    Episodes (8)

    WHO/UNHCR: Asilimia 75 ya vifo vyote duniani vinatokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza

    WHO/UNHCR: Asilimia 75 ya vifo vyote duniani vinatokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
    Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani WHO  na la kuhudumia wakimbizi duniani UNHCR leo yameonya kwamba athari zinazoletwa na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile saratani, magonjywa na mfumo wa hewa na kisukari kwa maisha ya watu duniani ni kubwa huku yakiwa ni chanzo cha asilimia 75 ya vifo vyote. Katika tarifa yao ya pamoja iliyotolewa mjini Geneva Uswis kwa mashirika hayo yamesema Watu walioathiriwa na dharura za kibinadamu wako katika hatari zaidi ya kupata magonjwa yasiyo ya kuambukiza NCDs huku ikikadiriwa kuwa magonjwa ya kiharusi na shinikizo la damu  yana uwezekano wa kuongezeka mara tatu zaidi kunapokuwa na majanga ya kibinadamu.Hata hivyo, yameongeza kuwa huduma na matibabu ya NCDs mara nyingi havijumuishwi kama sehemu ya kawaida ya maandalizi ya hatua za dharura ya kibinadamu, ambayo huzingatia mahitaji ya haraka zaidi.Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema. "Watu wanaoishi na NCDs katika majanga ya kibinadamu wana uwezekano mkubwa wa kuona hali zao zikiwa mbaya zaidi kutokana na kiwewe, msongo wa mawazo, au kutoweza kupata dawa au huduma. Mahitaji ni makubwa, lakini rasilimali hazitoshi. Lazima tutafute njia za kuunganisha vyema huduma za NCD katika kukabiliana na dharura, ili kulinda maisha zaidi kutokana na majanga haya yanayoweza kuepukika na kuboresha usalama wa afya."Wakimbizi wametajwa kwamba mara nyingi wanakabiliwa na ukosefu wa huduma za afya, kutokana na hali mbaya ya maisha, matatizo ya kifedha, na hali mbaya ya kisheria.Filippo Grandi,ambaye ni  Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi amesema "Kadiri watu wanaofurushwa makwao wanavyoongezeka, lazima tufanye kazi ili kuhakikisha haki ya afya ya wakimbizi, watu wengine waliolazimika kukimbia na jamii zinazowapokea. Ni muhimu kwamba sera, na rasilimali ziwepo ili kusaidia kujumuishwa kwa wakimbizi katika mifumo ya afya ya kitaifa, ikiwa ni pamoja na kupata huduma za magonjwa yasiyoambukiza. Lazima tuwe wabunifu, na kufanya kazi na serikali na washirika kutatua changamoto kama hizi."NCDs zilichangia asilimia kubwa ya vifo vyote katika nchi zinazotoa wakimbizi wengi wanaosaidiwa na UNHCRambapoasilimia 75 Syria, asilimia 92 nchini Ukraine, asilimia 50 nchini Afghanistan na asilimia 28 Sudan Kusini.

    27 FEBRUARI 2024

    27 FEBRUARI 2024
    Hii leo jaridani tunaangazia hatari ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza na wakimbizi wa Sudan wanaovuka mpaka kuelekea Sudan Kusini. Makala tunakuletea majibu ya Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Dennis Francis alipohojiwa na UNTV kandoni mwa Kikao cha 55 cha Baraza la Haki za Binadamu kinachoendelea jijini Geneva Uswisi na mashinani tunakupeleka nchini Afghanistan, kulikoni?  Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani WHO na la kuhudumia wakimbizi duniani UNHCR leo yameonya kwamba athari zinazoletwa na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile saratani, magonjywa na mfumo wa hewa na kisukari kwa maisha ya watu duniani ni kubwa huku yakiwa ni chanzo cha asilimia 75 ya vifo vyote.Wananchi waliokimbia makazi yao kutokana na vita inayoendelea nchini Sudan wanasaidiwa nchini Sudan Kusini na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji IOM ambalo limeeleza zaidi ya watu nusu milioni wamevuka mpaka na kuingia eneo la Renk na sasa wanawapatia usaidizi wa usafiri ili kufika kwenye maeneo watakayopata usaidizi. Katika makala Anold Kayanda anaangazia majibu ya Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Dennis Francis alipohojiwa na UNTV kandoni mwa Kikao cha 55 cha Baraza la Haki za Binadamu kinachoendelea jijini Geneva Uswisi. Pamoja na mambo mengine Balozi Francis amesema Umoja wa Mataifa "sio tatizo" bali tatizo linatokana na kwamba baadhi ya nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa wanahisi wanaweza kukiuka mkataba wa Umoja wa Mataifa na  sheria za kimataifa watakavyo.Na mashinani tutaelekea nchini Afghanistan kusikia jinsi UNICEF ilivyorejesha huduma za afya, matibabu na mafunzo kwa wataalam ili kuwafikia watoto na wanawake popote walipo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

    NCDs are killing the Caribbean

    NCDs are killing the Caribbean

    If I asked you to name the world’s most deadly diseases I’m guessing that you might say HIV/AIDS, tuberculosis, cholera, maybe even COVID-19. In fact, those have all been major killers throughout human history – and some like TB continue to be so, especially in low-income countries.

    But there is one group of diseases that is responsible for the deaths of more than two-thirds of people on earth. Let that sink in for moment. For every three people who die, two are killed by these illnesses, which are known as non-communicable diseases, or NCDs.

    You probably know about many of them. NCDs include cancers, diabetes, cardiovascular diseases and strokes, lung diseases and mental and neurological illnesses. As the name implies, what sets NCDs apart is that they cannot be passed from one person to another.

    Today we’re speaking with Maisha Hutton, executive director of the Healthy Caribbean Coalition, about the growing impact of NCDs on that region. For example, they are responsible for 80% of deaths in the Caribbean, and 40% of all premature deaths. Before COVID-19, one in three children in the region was overweight or obese – a major contributor to developing NCDs — which is one of the highest rates in the world; it might be even higher now, says Maisha.

    Besides describing what NCDs look like in the Caribbean and what societies there are doing to tackle the epidemic, Maisha explains why it’s not fair, or correct, to label NCDs as ‘lifestyle diseases’. That’s because the environments where people live have been carefully designed to promote NCD risk factors including alcohol and tobacco use, physical inactivity and unhealthy diets. 

    A quick note about some terms that Maisha mentions: PAHO is the Pan American Health Organization. GDA, traffic light, and octagonal — or stop sign — are different types of warning labels for food packages. GDA stands for guideline daily amount (or guideline daily allowance).

    Strive on social media

    Twitter

    Facebook

    LinkedIn

    Resources

    Healthy Caribbean Coalition

    Best Buys of the World Health Organization (WHO)

    Rodney Dietert on Microbiome-First Medicine

    Rodney Dietert on Microbiome-First Medicine

    Get ready for a microbiome geek-fest with Cornell Professor Emeritus, health scientist, and author Rodney Dietert, as we celebrate the 10th anniversary of his pioneering book, The Human Super-organism. Rodney shares the fascinating history of microbiome research and recounts his own life-changing, career-shifting revelations about microbiome-first medicine in reversing the modern epidemic of non-communicable chronic diseases (NCDs) and immune system disorders. We discuss the difference between viruses and bacteria, and because our dialogue took place in June 2021 (pre-Delta-variant spread in the US) he offered surprising views about COVID19, vaccines, and mask-wearing. We also cover the latest research on microbiome testing, probiotics, prebiotics, rebiosis, and fecal transplant interventions for physical and mental health disorders. 

    Rodney Dietert, PhD has turned his wide-ranging expertise toward reducing the environmental health risks of children and protecting against chronic diseases by focusing on the microbiome and the immune system. As a full professor at Cornell University in the Department of Microbiology and Immunology and a faculty member in the Cornell Institute for Comparative and Environment Toxicology, Dr. Dietert has published peer-reviewed papers in more than 70 different scientific journals ranging from environmental health and pediatric medicine publications to nutrition, metabolism, immune, neurological and reproductive journals. He has been President of the Immunotoxicology Specialty Section of the Society of Toxicology and previously led Cornell's programs in immunology, toxicology and risk reduction of breast cancer.  In 2012 Dr. Dietert introduced a new course at Cornell applying contemplative tools for creative problem solving.  This has blossomed into a variety of new educational programs and workshops.

    Food for Thought with Julian Rowe

    Food for Thought with Julian Rowe

    On this final episode of  Season 2 we chat  with  Dietitian Julian Rowe on all things food. We discuss food as medicine and whether the gut really is the body's second brain. We also  talk technology, dieting and eating healthy on a budget.

    Also on YouTube here:   https://youtu.be/7bMzvknoypA

    For suggestions, questions and comments email us at akelia@shakshak.club

    Follow us on IG (@shakshaktree), Facebook (/shakshakpodcast) and Twitter (@shakshakclub)

    Subscribe to our YouTube channel at Shak Shak Podcast (https://bit.ly/shakshakclub

    Syndemics Series: The Lancet: March 2, 2017

    Syndemics Series: The Lancet: March 2, 2017

    Emily Mendenhall discusses a new Lancet Series, explaining the new health concept of syndemics and how it can be used to tackle health inequities.

    Continue this conversation on social!
    Follow us today at...
    https://twitter.com/thelancet
    https://instagram.com/thelancetgroup
    https://facebook.com/thelancetmedicaljournal
    https://linkedIn.com/company/the-lancet
    https://youtube.com/thelancettv

    The Gut and Psychology and Physiology Syndrome

    The Gut and Psychology and Physiology Syndrome
    In this episode Rochelle McLaughlin will interview Dr. Natasha Cambell-McBride about how, in Rochelle's personal experience, Dr. Natascha's profoundly healing Gut and Psychology and Physiology Syndrome -GAPS- Protocol healed the whole family, her own and those she has worked with. Rochelle noticed in her work with helping families integrate the GAPS that the protocol actually healed much more than Autism, Dyspraxia, A.D.D., A.D.H.D, Depression and Schizophrenia. The GAPS protocol worked astonishing magic in healing all kinds of non-communicable diseases -NCDs-. Find out what is behind many if not most NCDs we are collectively experiencing in our chronic public health disease crisis and find out how you can begin your own self-healing journey with this profoundly healing method.
    Logo

    © 2024 Podcastworld. All rights reserved

    Stay up to date

    For any inquiries, please email us at hello@podcastworld.io