Logo

    rohomtakatifu

    Explore " rohomtakatifu" with insightful episodes like "Semina ya wanaume Kawe 2019: 2" and "Semina ya wanaume Kawe 2019" from podcasts like ""Ni Salama" and "Ni Salama"" and more!

    Episodes (2)

    Semina ya wanaume Kawe 2019: 2

    Semina ya wanaume Kawe 2019: 2

    Kulingana na utakavyoguswa Moyoni mwako na ukataka kujiunganisha na Huduma ya Mana, unaweza kutuma sadaka kwa njia zifuatazo:

    Bwana Yesu Asifiwe!!

    Hizi ndizo namba za simu za huduma: 

    +255754211633,

    +255715511633 na 

    +255682657080.

    Tafadhali tunaomba usipige ila unaweza kutuma ujumbe mfupi (SMS) kama una hitaji lolote na litaombewa. Pia unaweza kutuma sadaka yako kupitia M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.

    Semina ya wanaume Kawe 2019

    Semina ya wanaume Kawe 2019

    Somo hili si mali ya Ni Salama bali ni mali ya Christopher nad Diana Mwakasege. Kupata somo hili na mengine tafadhali wasiliana nao kupitia njia zilizopo hapo chini. Hili somo na mengine yaliyowekwa kwenye podcast hii hayana nia ya kupata pesa bali kwa kujisogeza karibu na Mungu kwa njia ya mafundisho kama hili unalosikiliza. Kwa sadaka na shukurani tafadhali ziwasilishe kwa huduma ya Mana, namba ziko kwenye masomo yanayoendelea.

     

    JINSI YA KUPATA MASOMO HAYA NA MENGINE MENGI KWA NJIA YA VITABU, KANDA, CDs & DVDs.

     

    Unaweza kutoa oda na ukatumiwa mafundisho hayo popote ulipo, kwa kupiga simu kila Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 11 jioni kwenye namba zifuatazo:

     

    *1. Kwa walioko Arusha na maeneo mengine yote Tanzania wasiliana na Lucy: +255 736 501 081, au fika ofisi za MANA Arusha iliyoko eneo hili  👉🏼goo.gl/VQSmeB*

     

    2. Kwa walioko Dar es Salaam na maeneo mengine yote Tanzania wasiliana na Dinna: +255 739 501 081 au fika ofisi za MANA Dar zilizo karibu na Posta ya Zamani, Jengo la Luther House, Ghorofa ya Tatu.

     

    Pia unaweza kutuandikia kwa EMAIL/BARUA PEPE: _info@mwakasege.org

     

    Kwa maeneo mengine, unaweza kupata mafundisho mbali mbali moja kwa moja wakati wa kongamano au semina itakapofanyika kwenye mkoa/maeneo husika kwa kufika kwenye BANDA la VITABU, KANDA, CDs & DVDs pale UWANJANI na pia kutoa order na ukatengenezewa. (WAKATI WA SEMINA).

     

    https://goo.gl/JAGBSN

      UBARIKIWE SANA

         www.mwakasege.org