JINSI MALEZI NA JAMII HUATHIRI MITAZAMO YA KIJINSIA KATIKA UCHAGUZI WA KAZI ZA KITAALUMA
Katika kipindi hiki utasikia maoni ya watu mbalimbali juu ya mitazao yao kuhusu kazi za kike na za kiume. Pia tumeongea na watu ambao baadhi ya watu katika jamii inawatazama kama wanafanya kazi za jinsia nyingine pia wadau na wataalamu wa maswala ya kijinsia wakielezea changamoto ya kugawa kazi za kitaaluma kijinsi na nini cha kufanya kuondoa mgawanyo huu.