Semina ya wanaume Kawe 2019: 29
Kulingana na utakavyoguswa Moyoni mwako na ukataka kujiunganisha na Huduma ya Mana, unaweza kutuma sadaka kwa njia zifuatazo:
Bwana Yesu Asifiwe!!
Hizi ndizo namba za simu za huduma:
+255754211633,
+255715511633 na
+255682657080.
Tafadhali tunaomba usipige ila unaweza kutuma ujumbe mfupi (SMS) kama una hitaji lolote na litaombewa. Pia unaweza kutuma sadaka yako kupitia M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.